Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Fasihi

Fasihi (kutoka neno la Kiarabu فصاحة, fasaha kwa maana ya ulimbi au "literacy" kwa Kiingereza) ni utanzu (tawi) wa sanaa ambao hutumia lugha ya mazungumzo au maandishi ili kufikisha (kuwasilisha) ujumbe kwa hadhira husika. Ni ufundi wa kuwasilisha mawazo au ujumbe ulio katika fikra za binadamu.Fasihi ni sanaa inayotumia lugha kwa ubunifu kuwasilisha masuala kuhusu maisha ya binadamu na mazingira

Vipengele vinavyounda fani ya fasihi ni kama ifuatavyo: fani ni umbo la nje la kazi ya fasihi; maudhui ni umbo lake la ndani.


Previous Page Next Page






Letterkunde AF Literatur ALS ሥነ ጽሑፍ AM Literatura AN साहित्य ANP أدب Arabic সাহিত্য AS Lliteratura AST Адабият AV Suteroteem AVK

Responsive image

Responsive image