Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Alabama








Alabama

Bendera

Nembo
Nchi Bendera ya Marekani Marekani
Mji mkuu Montgomery
Eneo
 - Jumla 135,765 km²
 - Kavu 131,426 km² 
 - Maji 4,338 km² 
Tovuti:  http://www.alabama.gov/

Alabama ni jimbo la kujitawala la Muungano wa Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu ni Montgomery na mji mkubwa jimboni ni Birmingham. Alabama imepakana na Tennessee, Georgia, Florida na Mississippi. Upande wa kusini ni maji ya Ghuba ya Meksiko. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu mil. 4,661,900 (2008) wanaokalia katika eneo la 135,765 km² ambalo ni hasa milima na jangwa.


Previous Page Next Page






Alabama AF Alabama ALS አላባማ AM Alabama AN Alabama ANG ألاباما Arabic ܐܠܒܐܡܐ ARC ألاباما ARY الاباما ARZ Alabama AST

Responsive image

Responsive image