Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Zabibu

Zabibu
Shamba la mizabibu

Zabibu ni tunda la mzabibu (Vitis vinifera).

Zabibu moja ni fuu inakua pamoja na fuu nyingine 6 - 300 kwenye mshikano au shazi kama ndizi. Zabibu hupatikana kwa rangi mbalimbali hasa kijani, njano, buluu, nyeusi na namna za nyekundu.

Zabibu zinajulikana hasa kama chanzo cha divai lakini huliwa kama tunda, hufanywa kuwa maji ya zabibu, kuwa jem au kukaushwa kuwa zabibu kavu. Mbegu zake ndogo hutoa mafuta.

Zabibu

Previous Page Next Page






Druiwe AF Weintraube ALS ወይን AM Fadisusu' AMI Uga AN Wīnberge ANG अंगूर ANP عنب Arabic ܥܢܒܬܐ ARC عنب ARY

Responsive image

Responsive image