Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Wilaya ya Ulanga

Kwa matumizi tofauti ya jina hili tazama Ulanga (madini)

Mahali pa wilaya ya Ulanga katika mkoa wa Morogoro kabla ya kumegwa ili kuanzisha Wilaya ya Malinyi.

Wilaya ya Ulanga ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Morogoro, Tanzania, yenye Postikodi namba 676.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 194,209 walioongezeka kuwa 265,203 wakati wa sensa ya mwaka 2012.[1] Katika ile ya mwaka 2022, baada ya wilaya kumegwa, walihesabiwa 232,895 [2].

Makao makuu ya wilaya yapo Mahenge Mjini.

  1. "Sensa ya 2012, Morogoro - Ulanga DC" (PDF). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2016-03-03. Iliwekwa mnamo 2016-06-04.
  2. https://www.nbs.go.tz

Previous Page Next Page






Ulanga CEB Ulanga (Distrikt) German Περιοχή Ουλάνγκα Greek Ulanga District English Ulanga Spanish Distretto di Ulanga Italian Ulanga (district) Dutch Ulanga (huyện) VI Ulanga District ZU

Responsive image

Responsive image