Wilaya ya Kigoma Vijijini | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Mkoa | Kigoma |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 222,792 |
Wilaya ya Kigoma ni wilaya mojawapo kati ya 8 za Mkoa wa Kigoma yenye msimbo wa posta 47200.
Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 211,566 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 wazazi walihesabiwa 222,792 [2].