Wikimania ni tukio la kila mwaka la kimataifa wa Wikimedia. Mkutano wa kwanza wa Wikimania, ulifanyika mwaka 2005 huko nchini Ujerumani. Mkutano huu ulifanyika tarehe 4 Agosti, 2006 huko Cambridge, Massachussetts, Marekani. Wikimania ni mkutano wa kijamii na kisayansi ambao utajumuisha washiriki wa Miradi ya Wikimedia ili kubadilishana mawazo, kujenga mahusiano, na kutoa taarifa za tafiti na juhudi mbalimbali za miradi hiyo.
Mkutano huu hutoa nafasi pia kwa washiriki wa miradi ya Wikimedia kukutana na kubadilishana mawazo na umma kuhusu miradi ya zana huria za teknolojia, maarifa huria na miradi ya wiki duniani.
Mkutano wa Wikimania 2007 ulifanyika kwa mara ya tatu kuanzia tarehe 3-5 Agosti, katika mji wa Taipei, Taiwan. Mkutano wa kwanza wa Wikimania 2005ulifanyika nchini Ujerumanikuanzia tarehe 4-8 August. Mkutano wa pili waWikimania 2006 ulifanyika 4-6 Agosti huko Cambridge, Massachussetts, Marekani.
Wikimania ni mkutano wa kijamii na kisayansi ambao unajumuisha washiriki wa Miradi ya Wikimedia ili kubadilishana mawazo, kujenga mahusiano, na kutoa taarifa za utafiti na juhudi mbalimbali za miradi hiyo.
Mkutano huu hutoa nafasi pia kwa washiriki wa miradi ya Wikimedia kukutana na kubadilishana mawazo na umma kuhusu miradi ya zana huria za teknolojia, maarifa huria na miradi ya wiki duniani.