Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Uvinza


Kata ya Uvinza
Nchi Tanzania
Mkoa Kigoma
Wilaya Kigoma Vijijini
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 43,102

Uvinza ni kata ya Wilaya ya Uvinza katika Mkoa wa Kigoma, Magharibi mwa Tanzania. Wilaya hiyo ilianzishwa rasmi mnamo Machi 2012 ikiwa na makao makuu Lugufu.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 43,102 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 35,231 waishio humo.[2]

Mji wa Uvinza ni maarufu kwa upatikanaji wa chumvi.

Ulijulikana kama Neu Gottorp wakati wa utawala wa Wajerumani walipokuwa wakijenga Reli ya kati toka Kigoma hadi Dar es Salaam, Mwaka 2007 ulichaguliwa kuwa chanzo cha tawi la reli itakayokwenda Bujumbura, Burundi.

  1. https://www.nbs.go.tz, uk 159
  2. Sensa ya 2012, Kigoma Region - Uvinza District Council

Previous Page Next Page






يوفينزا ARZ Uvinza (lungsod sa Tansaniya) CEB Uvinza German Ουβίνζα Greek Uvinza English Uvinza Italian ウビンザ Japanese Uvinza Polish Uvinza Romanian Увинза Russian

Responsive image

Responsive image