Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Utoaji mimba

Mimba ya wiki 10 hivi iliyotolewa tumboni mwa mama kwa njia ya upasuaji.

Utoaji mimba au Uavyaji wa mimba ni tendo la hiari la kuua mimba iliyokwishatungwa tumboni mwa mwanamke. Unaweza kufanywa naye au na watu wengine kwa kibali chake au bila ya hicho.

Sababu zinaweza kuwa mbalimbali: hatari kwa uhai wa mjamzito, haya kwa tendo lililotunga mimba kinyume cha maadili, hali ya uchumi, ulemavu wa mama au wa mimba, ubaguzi wa jinsia n.k.

Ni tofauti na tukio lisilokusudiwa la mimba kuharibika kwa sababu mbalimbali.


Previous Page Next Page






Aborsie AF Schwangerschaftsabbruch ALS Alborto AN गर्भपात ANP إجهاض Arabic إجهاض ARY اجهاض ARZ গৰ্ভপাত AS Albuertu AST Abort AZ

Responsive image

Responsive image