Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Utabiri

Utabiri au ubashiri ni uoteaji au ukisiaji wa mambo yatakayotokea muda ujao.

Mtu mwenye uwezo wa kutabiri huitwa mtabiri.

Mara nyingine utabiri unatokana na uchunguzi wa kisayansi, kwa mfano utabiri wa hali ya hewa.

Katika dini mbalimbali utabiri unatokana na karama maalumu ambayo mtu anajaliwa na Mwenyezi Mungu.

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page






Prognose ALS توقع Arabic Прогноза (наука) Bulgarian پێشبینی CKB Predikce Czech Rhagfynegiad CY Forudsigelse Danish Prognose German Prediction English Prognozo EO

Responsive image

Responsive image