Jiji la Taipei | |
Nchi | Jamhuri ya China |
---|---|
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,619,920 |
Tovuti: www.taipei.gov.tw |
Taipei ni mji mkuu wa Jamhuri ya China kwenye kisiwa cha Taiwan. Ni pia mji mkubwa wa Taiwan.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 10 wanaoishi katika mji huu.