Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Sint Eustatius

Picha ya Sint Eustatius kutoka angani (ISS).

Sint Eustatius (yaani Mtakatifu Eustasi, au kifupi: Statia au Statius) ni kisiwa cha bahari ya Karibi karibu na Saint Kitts (Amerika ya Kati).

Ni sehemu ya pekee ya Uholanzi.[1]

Eneo lake ni kilometa mraba 21 tu.

Baada ya kuonekana na Kristofa Columbus mwaka 1493, umiliki wa kisiwa ulibadilikabadilika mara 22.

Wakazi wa kudumu ni 3,897. Wengi wao huongea hasa Krioli ya Kiingereza, ingawa Kiholanzi ndicho lugha rasmi.

Makao makuu ni Orangestad.

  1. "Wet openbare lichamen Bonaire, Sint Eustatius en Saba
    (Law on the public bodies of Bonaire, Sint Eustatius and Saba)"
    . Dutch Government (kwa Kiholanzi). Iliwekwa mnamo 14 Oktoba 2010.
    {{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Previous Page Next Page