Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Siku tatu kuu za Pasaka

L.F. Schnorr von Carolsfeld alivyochora Akina Maria watatu kwenye kaburi la Kristo, mwaka 1835 hivi.
Mwaka wa Kanisa kadiri ya kalenda ya liturujia ya Roma kama kielelezo cha kawaida kwa Ukristo wa magharibi.
Mwaka wa liturujia
Magharibi
Mashariki

Siku tatu kuu za Pasaka ndizo kiini cha mwaka wa Kanisa.

Zimekusudiwa kumuadhimisha Yesu mteswa, mzikwa na mfufuka, yaani:

Siku hizo tatu ni kama bawaba kati ya Kwaresima na kipindi cha Pasaka. Ingawa tarehe zinabadilika kila mwaka, zinaangukia daima kati ya Machi mwishoni na Aprili mwishoni.


Previous Page Next Page






Tríduum Pasqual Catalan Velikonoční triduum Czech Triduum Sacrum German Paschal Triduum English Triduo Pascual Spanish Pazko Hirurrena EU Triduum sacrum Finnish Triduum pascal French Vazmeno trodnevlje Croatian Trihari Suci ID

Responsive image

Responsive image