| |||||
Kaulimbiu ya taifa: n/a | |||||
Wimbo wa taifa: Independência total (Uhuru Kamili) | |||||
Mji mkuu | Sao Tome | ||||
Mji mkubwa nchini | Sao Tome | ||||
Lugha rasmi | Kireno | ||||
Serikali | Jamhuri Carlos Vila Nova Jorge Bom Jesus | ||||
Uhuru - Date |
Kutoka Ureno 12 Julai 1975 currency = Dobra | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
1,001 km² (ya 171) 0% (visiwa) | ||||
Idadi ya watu - 2021 kadirio - 2012 sensa - Msongamano wa watu |
223,107 (ya 186) 178,739 199.7/km² (ya 69) | ||||
Fedha | {{{currency}}} (STD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
UTC (UTC+0) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .st | ||||
Kodi ya simu | +239
- |
Jamhuri ya Kidemokrasia ya São Tomé na Príncipe (kifupi: Sao Tome na Principe) ni nchi ndogo inayoundwa na visiwa vichache vilivyoko katika Bahari ya Atlantiki mbele ya pwani ya Afrika ya Magharibi katika Ghuba ya Guinea. Ilikuwa koloni la Ureno hadi mwaka 1975.
Eneo lake ni hasa visiwa viwili vikubwa vya São Tomé na Príncipe pamoja na visiwa vidogo kadhaa.
Sao Tome na Principe vina umbali wa km 140 kati yake, vikiwa takriban km 250 na 225 kutoka pwani ya Gabon.