Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Sao Tome


Jiji la Sao Tome
Nchi Sao Tome na Principe
Mji wa Sao Tome kwenye kisiwa cha Sao Tome.
Kanisa kuu.
Boma la São Sebastião.
Ikulu ya Rais.

Sao Tome ni mji mkuu wa nchi ya visiwa ya Sao Tome na Principe, karibu na Afrika ya Magharibi.

Jina limetokana na lile la Kireno la Mtakatifu Thoma.

Mji ulianzishwa na Ureno mwaka 1485 kwenye pwani ya kaskazini-mashariki ya kisiwa chenye jina lilelile katika ghuba ya Guinea.

Mji ulikuwa na wakazi 56,166 mwaka 2005.

Kuna kiwanja cha ndege cha kimataifa na viwanda kadhaa ya matofali, sabuni na vinywaji.

Sao Tome ina shule za msingi hadi sekondari, makanisa, hospitali ya pekee nchini, vituo vya TV na redio.


Previous Page Next Page






São Tomé AF ሳን ቶሜ AM Sant Tomé AN ساو تومي Arabic ساو تومى ARZ Santu Tomé (capital) AST São Tomé (widava) AVK San-Tome şəhəri AZ Сан-Томе (ҡала) BA São Tomé BAN

Responsive image

Responsive image