Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Punda

Punda
Punda-kaya katika Hifadhi ya Taifa ya Amboseli
Punda-kaya katika Hifadhi ya Taifa ya Amboseli
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (Wanyama wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda: Perissodactyla (Wanyama wenye kidole kimoja au vitatu miguuni)
Familia: Equidae (Wanyama walio na mnasaba na farasi)
Jenasi: Equus (Farasi na punda)
Linnaeus, 1758
Nusujenasi: Asinus
Ngazi za chini

Spishi 3, nususpishi 12:

Punda ni wanyama wakubwa kiasi wa nusujenasi Asinus ya jenasi Equus katika familia Equidae wafananao na farasi mdogo. Spishi moja (Equus kiang), ambayo inatokea Asia, huitwa kiang'. Punda anayejulikana sana ni yule anayefugwa (Punda-kaya), lakini kuna punda porini pia. Watu huwatumia punda wafugwao kwa kubeba mizigo, kuvuta magari au kuwarakibu. Punda wanaweza kuzaliana na farasi lakini watoto wao (baghala au nyumbu) hawazai tena kwa kawaida.


Previous Page Next Page






حمار (جنيس) Arabic Micapoc ATJ Asinus Catalan Osel Czech Όνος (υπογένος) Greek Asinus English Asinus GL חמור (תת-סוג) HE Magarci Croatian Asinus ID

Responsive image

Responsive image