Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Pimbi

Pimbi
Pimbi mkubwa kwenye Mlima Kenya (Procavia capensis)
Pimbi mkubwa kwenye Mlima Kenya (Procavia capensis)
Uainishaji wa kisayansi
Domeni: Eukaryota
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli: Mamalia (wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda ya juu: Afrotheria
Oda: Hyracoidea (Wanyama kama pimbi)
Familia: Procaviidae (Wanyama walio na mnasaba na pimbi)
Thomas, 1892
Ngazi za chini

Jenasi 3, spishi 4:

Pimbi, kwanga, perere au wibari ni wanyama wadogo wa familia Procaviidae. Jina la kwanga litumika kwa jenasi Heterohyrax na perere na wibari yatumika kwa jenasi Dendrohyrax. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara na Mashariki ya Kati, mara nyingi katika maeneo makavu na yenye miamba mingi. Spishi zote ni nene zenye mkia mfupi na manyoya mazito. Miguu yao ina vitakia vyenye ngozi nene na tezi nyingi za jasho ambavyo vinawasaidia kupanda miamba na miti. Rangi yao ni kijivu, kahawia au hudhurungi. Hula majani ya manyasi, ya mimea na ya miti.


Previous Page Next Page






Dassie AF وبريات Arabic ܚܓܣܐ ARC وبريات ARZ Hyracoidea AST Nokoldunol (Hyracoidea) AVK Damanlar AZ Даманы BE Дамани Bulgarian Daman (loen) BR

Responsive image

Responsive image