Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Pato la taifa

Nchi kulingana na pato lake la taifa mnamo 2014.

Pato la taifa au jumla ya pato la taifa (kifupi: JPT) ni kipimo cha thamani ya sokoni ya bidhaa na huduma zote zinazozalishwa ndani ya nchi katika muda fulani.[1]

JPT hutumiwa kwa kawaida na serikali ya nchi ili kupima afya ya uchumi wake. Kipimo hicho mara nyingi hurekebishwa kabla ya kufikiriwa kuwa kiashiria cha kuaminika.[2]

  1. Duigpan, Brian (2017-02-28). "gross domestic product". Encyclopedia Britannica (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-02-25. Iliwekwa mnamo 2023-02-23.
  2. "What Is GDP and Why Is It So Important to Economists and Investors?" (kwa Kiingereza). Investopedia. Iliwekwa mnamo 2023-05-05.

Previous Page Next Page