Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Pafo


Nguzo ya Mtume Paulo huko Pafo.

Pafo (kwa Kigiriki cha zamani: Πάφος [ˈpafos]; kwa Kituruki: Baf) ulikuwa mji mkuu wa kisiwa cha Cyprus wakati wa Dola la Roma. Kwa sasa ni makao makuu ya wilaya ya Pafo.

Pafo ilifikiwa na wamisionari Mtume Paulo na Barnaba mwaka 45 hivi (Mdo 13:4-12). Katika nafasi hiyo, liwali Sergius Paulus aliongokea Ukristo.

Mji huo umeorodheshwa na UNESCO kati ya mahali pa Urithi wa Dunia.


Previous Page Next Page






بافوس Arabic Pafos AZ Пафас (Кіпр) BE Пафас BE-X-OLD Пафос Bulgarian Pafos BR Pafos BS Pafos Catalan Paphos (kapital sa distrito sa Siyeprus) CEB Pafos Czech

Responsive image

Responsive image