Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Nyama

Nyama ya wanyama kadhaa.

Nyama ni sehemu za mwili wa wanyama zinazoliwa kama chakula au kitoweo.

Kwa watu wengi nyama ni chakula muhimu kwa sababu ina protini nyingi ndani yake pamoja na mafuta. Nyama huliwa baada ya kuipika, kuchoma au kukaanga. Kuna sehemu za dunia ambako watu wamezoea kula nyama mbichi wakiteua sehemu lainilaini, kwa mfano nyama ya kusagwa au maini.


Previous Page Next Page






Акәац AB Vleis AF Fleisch ALS ስጋ AM Carne AN لحم Arabic ܒܣܪܐ ARC لحمه ARZ মাংস AS Carne AST

Responsive image

Responsive image