Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Nile

Mto Nile,Uganda
Nchi za beseni la mto wa Nile pamoja na matawimto yake
Nchi za beseni la mto wa Nile pamoja na matawimto yake
Mto wa Nile
Jina: an-Nil (Kiarabu)
Mahali: Africa ya kaskazini-mashariki
Urefu: 6650 km
Chanzo: Luvironza />mto wa chanzo Burundi
Kimo cha chanzo: 2.700 juu ya UB
Mdomo: Mediteranea kaskazini ya Kairo/Misri
Kimo cha mdomo: 0.00 m juu ya UB
Tofauti ya kimo: 2.700 m
Matawimto ya kulia: Sobat, Nile ya buluu (Abbai), Atbara
Matawimto ya kushoto: Bahr al-Ghazal
Miji mikubwa mtoni (pamoja na vyanzo vyake): Alexandria, Assuan, Atbara, Bahri, Fajum, Giza, Jinja, Juba, Kairo, Kampala, Khartum, Kigali, Kusti, Luxor, Malakal, Omdurman, Port Said, Rabak, Tanta
Je inafaa kama njia ya maji? ndani ya Misri
Picha ya Nile kutoka chombo cha angani - (Shukrani kwa NASA).

Mto Nile (pia: Naili; kwa Kiarabu: ‏ ,النيل‎ an-nīl) ni mto mkubwa upande wa mashariki ya bara la Afrika. Mara nyingi hutajwa kuwa pia ni mto mrefu kabisa duniani kushinda mto Amazonas. Kutoka Ziwa la Viktoria Nyanza hadi mdomo wake kwenye Bahari ya Mediteranea Nile inavuka nchi za Uganda, Sudan Kusini, Sudan na Misri kwa urefu wa km 6,650.

Beseni la Nile hukusanya maji ya eneo linalojumlisha 10% za eneo la Afrika yote au km² 3,349,000. Takriban watu milioni 250 hukalia beseni hilo.


Previous Page Next Page






Нил (псыхъо) ADY Nylrivier AF Nil ALS አባይ ወንዝ (ናይል) AM Río Nilo AN Nīl ANG Okwaan̄ Nali ANN नील नदी ANP نهر النيل Arabic ܢܝܠܘܣ ARC

Responsive image

Responsive image