Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Ngozi

Kwa maana nyingine ya neno hili linganisha ngozi (maana)

Ngozi ya mkono wa binadamu.

Ngozi ni ganda la nje linalofunika mwili wa mnyama au binadamu. Aina mbalimbali huwa na aina za ngozi tofautitofauti kulingana na mazingira wanapoishi na ukoo wa spishi mbalimbali.

Ni wanyama wa nusufaili ya vetebrata pekee wenye ngozi; wengine kama konokono, kaa au wadudu huwa na kiunzi nje, si ngozi. Mamalia wote walio sehemu ya vetebrata huwa na nywele angalau chache kwenye ngozi yao.

Ngozi ikiondolewa mwilini na kushughulikiwa kwa kuikausha na kutia dawa mbalimbali inaweza kutunzwa na kutumiwa kwa kutengeneza viatu, mavazi n.k.


Previous Page Next Page






Vel AF Haut ALS ቆዳ AM Piel AN Akpalek ANN جلد Arabic ܓܠܕܐ ARC ছাল AS Piel AST Ocaki ATJ

Responsive image

Responsive image