Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Nafaka

Vyakula vinavyotokana na nafaka.

Nafaka ni mbegu za aina mbalimbali za manyasi. Ni pia jina la aina za manyasi yanayolimwa mashambani ambazo mbegu zake zinatumiwa kama chakula cha binadamu.

Manyasi za nafaka ni kati ya mimea muhimu zaidi inayotumiwa kama chakula cha watu duniani.

Nafaka muhimu ni pamoja na

Aina tatu za nafaka, ambazo ni 87 % za mavuno ya nafaka zote duniani, ni: mahindi, ngano na mchele.

Nafaka zina wanga (kabohaidreti) ndani yake ambayo ni lishe muhimu ya watu. Kuna pia kiasi kidogo cha protini.

Punje za nafaka zinaliwa baada ya kuzivunja kiasi na kuzilainisha ndani ya maji. Kwa kawaida nafaka huliwa baada ya kupondwa au kusagwa kuwa unga.

Ugali, uji, maandazi, chapati, mkate, keki na spaghetti ni mifano ya vyakula vinavyotengenezwa kwa kutumia unga wa nafaka.

  1. msamiati wa Legere kwa Roggen / rye; TUKI-ESD inataja shayiri kuwa "barley" na pia na "oat""rye"
  2. Kiing. barley
  3. msamiati wa Legere kwa Hafer / oat; TUKI-ESD inataja shayiri kuwa "barley" na pia na "oat""rye"

Previous Page Next Page






Graan AF Getreide ALS እህል AM Cerial AN Corn ANG محصول حبوب Arabic حبوب ARZ Cereal AST Dənli bitkilər AZ Иген культуралары BA

Responsive image

Responsive image