Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mwali

Ramani ya Mwali
Mahali pa Mwali katika Komori

Mwali (au Moheli) inayoitwa pia ni moja kati ya visiwa vitatu vinavyounda nchi ya kisiwani ya Komori katika Bahari Hindi. Mwali ni kisiwa kidogo kati ya visiwa vikuu vya Komori.

Idadi ya wakazi wake ni mnamo watu 38,000 (mwaka 2006). Mji mkuu ni Fomboni. Wakazi wake ni mchanganyiko wa watu wenye asili ya Wabantu, Waarabu, Wamalay na Wamadagaska.

Dini ya wakazi wengi ni Uislamu wa Kisunni.

1997 Mwali ilijitenga na nchi ya Komori lakini ilirudi mwaka 1998.


Previous Page Next Page






موهيلي Arabic Mvali (Moheli) AZ Мвалі BE Махелі BE-X-OLD মোহেলি Bengali/Bangla Mohéli BR Mohéli Catalan Mwali (distrito) CEB Mwali Czech Mohéli German

Responsive image

Responsive image