Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mkoa wa Shinyanga

Mkoa wa Shinyanga katika Tanzania.
Wilaya za mkoa wa Shinyanga.
Mgodi wa almasi huko Mwadui.

Mkoa wa Shinyanga ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye msimbo wa posta 37000. Mkoa umepakana upande wa kaskazini na mikoa ya Mwanza, Geita na Kagera, upande wa kusini na Mkoa wa Tabora. Mkoa wa Kigoma uko upande wa magharibi, na mkoa wa Simiyu upande wa mashariki.

Makao makuu yako mjini Shinyanga.


Previous Page Next Page