Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mji

Mji bora unahitaji mpangilio mzuri wa makazi.

Mji ni mkusanyiko wa makazi ya watu, shule, hospitali, ofisi, maduka, viwanda n.k. ulio mkubwa kuliko ule wa kijiji. Mji ukizidi kukua unakuja kuitwa pia jiji.

Sura maalumu ya miji inategemea mambo mengi, kuanzia mazingira asili (kama yana milima, mabonde, mito, bandari n.k.).

Miji ya kwanza ilipatikana Mesopotamia, kama vile Uruk na Ur, ingawa kati ya miji inayodumu hadi leo ule wa kale zaidi labda ni Yeriko (Palestina).

Ukuaji wa madola ulifanya baadhi ya miji ipewe hadhi ya mji mkuu, kama vile Roma ambao wakati wa Yesu ulikuwa na wakazi zaidi ya nusu milioni.

Miji yenye wakazi wengi kuliko mingine ni Chongqing, Tokyo, Shanghai, Jakarta, Faiyumna na Varanasi n.k.

Africa ina miji mingi muhimu: Cairo, Lagos, Kinshasa, Johannesburg n.k.


Previous Page Next Page






Kleinstadt ALS Villa AN بلدة Arabic مركز (بلد) ARZ Villa (población) AST Qəsəbə AZ شهرک AZB Banwaan BCL Мястэчка BE Мястэчка BE-X-OLD

Responsive image

Responsive image