Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Mita

Mita ya kimataifa, Reli ya metali ya platini iliyokuwa mfano halisi wa mita hadi mwaka 1960. (NIST)

Mita (pia: meta) ni kipimo cha urefu ambacho kimekuwa kipimo sanifu cha kimataifa.

Neno limetokana na Kigiriki μέτρον/métron (kipimo, pia chombo cha kupimia), kwa kupitia Kiingereza "metre, meter".

Kutokana na maana hiyo "mita" inataja pia mitambo ya kupima maji, umeme na kadhalika. Hapo matumizi ya Kiswahili yanafanana na ya Kiingereza "metre".


Previous Page Next Page






Meter AF Meter ALS ሜትር AM Metro AN Mita ANN متر Arabic ميترو (عبرة) ARY متر ARZ মিটাৰ AS Metru AST

Responsive image

Responsive image