Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Liuli


Liuli
Liuli is located in Tanzania
Liuli
Liuli

Mahali pa Liuli katika Tanzania

Majiranukta: 11°4′57″S 34°38′30″E / 11.08250°S 34.64167°E / -11.08250; 34.64167
Nchi Tanzania
Mkoa Ruvuma
Wilaya Nyasa
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 15,664

Liuli ni kata ya Wilaya ya Nyasa katika Mkoa wa Ruvuma, Tanzania. Hadi mwaka 2012 ilikuwa sehemu ya wilaya ya Mbinga.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 15,664 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 12,611 waishio humo.[2]

Liuli ni kijiji kilichopo kwenye mwambao wa ziwa Nyassa. Inajulikana hasa kutokana hospitali ya St. Anne ya kanisa Anglikana inayohudumia wagonjwa wa eneo kubwa sana.

Wakati wa koloni ya Kijerumani Liuli iliitwa "Sphinxhafen" yaani bandari ya sfinksi kwa sababu hapa kuna miamba mikubwa inayofanana na sanamu mashuhuri kwenye piramidi za Giza (Misri).

  1. https://www.nbs.go.tz
  2. Sensa ya 2012, Ruvuma - Nyasa District Council

Previous Page Next Page






Liuli (lungsod) CEB Liuli German Liuli English

Responsive image

Responsive image