Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kibali (tamthiliya)

Kibali ni tamthilia ya kwanza na David Kyeu. Imechapishwa mwaka wa 2010. Katika tamthilia hii, Kisasa, mwanamke aliyesoma anampeleka mumewe mahakamani akitaka talaka kwa sababu mumewe amembaka. Mumuwe haamini kwamba katika ndoa ubakaji unaweza kutokea na majaji wanaonekana kuegemea upande wake. Kisasa baadaye anafaulu katika mahakama tofauti. Anajiunga na kundi la wanawake mahanithi (lesbians), anakuwa malaya baadaye anakuja kuuawa na mwanawe Boi ambaye anadai yeye ni mwanamume na upuzi wa wanawake hataki.


Previous Page Next Page








Responsive image

Responsive image