Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kesi

Kesi ya Jean II, Duke of Alençon, Oktoba 1458.
Kesi ikiendeshwa huko California.

Kesi (kutoka Kiingereza: case kwa maana ya trial) ni utaratibu wa kuamua kisheria kati ya pande mbili zinazogombana au zinazoshindania kitu. Kwa ajili hiyo kuna mamlaka inayotumia ushahidi.

Siku hizi kesi nyingi zinaendeshwa na hakimu katika mahakama.

Kati ya kesi maarufu zaidi katika historia, ipo ile ya Yesu ambayo ilikuwa pacha: kwanza ya kidini mbele ya kuhani mkuu na baraza la Israeli, halafu ya kisiasa mbele ya liwali Ponsyo Pilato wa Dola la Roma. Hatimaye alipewa adhabu ya kifo.


Previous Page Next Page






محاكمة Arabic Правасуддзе BE Съдебен процес Bulgarian Judici (dret) Catalan Soudní řízení Czech Gerichtsverhandlung German Δίκη Greek Trial English Juicio Spanish Epaiketa EU

Responsive image

Responsive image