Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Jiolojia

Wanajiolojia wakichunguza sampuli za mwamba zilizopatikana kwa njia ya kekee.

Jiolojia (kutoka Kigiriki γῆ ge „ardhi“ na λόγος logos, somo, mafundisho“ = "geologia" - kwa matamshi ya Kiingereza "jiolojia") ni fani ya sayansi inayochunguza maumbile ya dunia na tabia zake za kifizikia na kikemia. Inachungulia pia historia ya dunia na nguvu zinazoendelea kubadilisha maumbile ya dunia.

Neno "geologia" liliwahi kutumiwa mara ya kwanza mnamo 1778 na Mfaransa Jean-André Deluc (17271817).

Jiolojia inatazama mawe na ardhi ikitafuta maelezo kwa umbo na tabia zake kuligana na kanuni za kisayansi.

Kuna masomo madogo ndani ya jiolojia kama vile:


Previous Page Next Page






Geologie AF Geologie ALS መሬት ጥናት (ጂዮሎጂ) AM Cheolochía AN भूविज्ञान ANP جيولوجيا Arabic جيولوجيا ARY جيولوجيا ARZ Xeoloxía AST Geologiya AZ

Responsive image

Responsive image