Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Galatia

Eneo la Galatia katika rasi ya Anatolia wakati wa Dola la Roma.

Galatia ni jina la mkoa wa zamani katikati ya nchi inayoitwa leo Uturuki.

Galatia ilipata jina hilo baada ya kuvamiwa na kukaliwa na kabila la Wagali kutoka Ufaransa kupitia Bulgaria ya leo katika karne ya 3 KK.

Mji mkuu wake ulikuwa Ancyra (leo Ankara, mji mkuu wa Uturuki).


Previous Page Next Page






غلاطية Arabic Galacia AST Галатыя BE Галятыя BE-X-OLD Галатия Bulgarian Galatia BR Galàcia Catalan Galacie Czech Galatia CY Galatien Danish

Responsive image

Responsive image