41°00′47″N 24°17′11″E / 41.01306°N 24.28639°E
Filipi (kwa Kigiriki Φίλιπποι, Philippoi) ulikuwa mji wa Makedonia ya mashariki, ulioanzishwa na Filipo II wa Makedonia mwaka 356 KK ukaachwa katika karne ya 14 kutokana na uvamizi wa Waturuki.
Leo kuna Filippoi tena karibu na magofu ya mji wa zamani katika mkoa wa Makedonia ya mashariki na Thrakia nchini Ugiriki.