Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Chama tawala

Chama tawala ni istilahi ya siasa inayotaja chama kilichoshika uongozi wa nchi, kwa kawaida kupitia uchaguzi.

Shida inayoweza kujitokeza ni kudai chama hicho kiendelee kutawala milele, hata bila ridhaa ya wananchi.

Wanaopinga uongozi wa chama tawala na serikali yake wanaitwa wanasiasa wa upinzani.


Previous Page Next Page








Responsive image

Responsive image