Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Watwa

Twa

Uenezi wa Watwa kadiri ya Hewlett & Fancher.

Uenezi wa Watwa kadiri ya Stokes.

Uenezi wa Watwa kadiri ya Cavalli-Sforza.

Uenezi wa Watwa kadiri ya Blench.
Lugha

Lugha za Kibantu, Kifaransa

Watwa (pia: Batwa, Cwa) ni kundi la wabilikimo wa Afrika ya Kati (Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Burundi, Rwanda, Uganda), lakini pia Zambia, Angola, Namibia na Botswana ambao wanaishi kwa kushirikiana na majirani wao wa makabila ya Kibantu.

Kihistoria inafikiriwa kwamba ndio wakazi asili ya misitu ya eneo hilo kabla ya uvamizi wa wakulima[1][2]

Kwa kiasi kikubwa Watwa wamemezwa na makabila hayo ya Kibantu, kwa mfano katika Tanzania ya leo.

  1. Vansina argues that the original meaning of the (Proto-Bantu) word *twa was "hunter-gatherer, bushpeople", alongside yaka used for the western (Mbuti) pygmies (Bayaka)
  2. Vansina, Jan (Oktoba 1990). Paths in the rainforests : toward a history of political tradition in equatorial Africa. University of Wisconsin Press. ISBN 978-0-299-12574-5.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)

Previous Page Next Page






Тва BE Twa English טווה (עמים) HE त्वा लोग HI Twa ID

Responsive image

Responsive image