Kisonha ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Nepal inayozungumzwa na Wasonha. Mwaka wa 2011 idadi ya wasemaji wa Kisonha imehesabiwa kuwa watu 580. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kisonha iko katika kundi la Kiaryan.
Kisonha