Kisonha

Kisonha ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Nepal inayozungumzwa na Wasonha. Mwaka wa 2011 idadi ya wasemaji wa Kisonha imehesabiwa kuwa watu 580. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kisonha iko katika kundi la Kiaryan.


Kisonha

Dodaje.pl - Ogłoszenia lokalne