Our website is made possible by displaying online advertisements to our visitors.
Please consider supporting us by disabling your ad blocker.

Responsive image


Kileabu

Kileabu (כלאב) alikuwa mwana wa Mfalme Daudi wa Israeli. Mama yake alikuwa Abigaili.

Ametajwa katika Biblia ya Kiebrania, ambayo ni sehemu ya Biblia ya Kikristo (Agano la Kale), katika Kitabu cha Pili cha Samueli, sura ya 3, mstari wa 3.


Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kileabu kama habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

Previous Page Next Page






Kilab German Chileab English כלאב HE Kileab ID Kileab Italian Daniël (zoon van David) Dutch Kileab Polish Quileabe Portuguese چلیاب بن داؤد UR דניאל (בן דוד) YI

Responsive image

Responsive image